MKUTANO MKUU WA 10 WA KAUKI

MKUTANO MKUU WA 10 WA KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

KAUKI-Kidamali, Iringa

KAUKI-Kidamali, Iringa
Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Friday, May 17, 2013

MATUKIO MBALIMBALI YA KIJAMII YA WANA-KAUKI KATIKA PICHA

Wana-KAUKI katika moja ya shughuli za kijamii, kutoka kushoto ni Mke wa Onesmo Kivenule, Onesmo Kivenule, Bi Anyesi Sigatambule Kivenule na Bi Asia John Kivenule

Hawa wote ni Kivenule Hazina ya KAUKI, wakiwa katika sherehe ya kijamii, kutoka kushoto ni Magreth,..., Frank, Theopista, Emmanuel na Lucy


Ndugu Onesmo Kivenule katikati akiwa na Shangazi yake Kulia na Mke wake Kushoto katika moja ya hafla

Kutoka Kushoto ni Ndugu Innocent Kivenule, Ignus Kivenule na Delfinus Kivenule

Wana-KAUKI wakiwa katika Vikao vya Kijamii

Hii ni moja ya maombolezi ya msiba wa Mama Mzazi wa Katibu wa KAUKI huko Mseke Iringa

Hapa ni nyumbani Mafinga kwa Katibu wa sasa wa KAUKI, ilikuwa ni wakati wa msiba wa Mama yake Mzazi

Katibu wa sasa wa KAUKI, Ndugu Adam Kivenule (wa kwanza kushoto) akiwa na jamaa zake katika moja ya Hoteli ya Kitalii huko Windhoek, Namibia wakati anahitimisha mafunzo yake ya Elimu ya Masafa kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano na habari. Anayefuata kutoka kushoto ni Banda kutoka Zambia, aliyesimama Simon- Kenya, Rose-Kenya na mwisho kulia ni kutoka Zambia

Katibu wa sasa wa KAUKI, Ndugu Adam Kivenule (wa tatu kushoto) akiwa na jamaa zake katika moja ya Hoteli ya Kitalii huko Windhoek, Namibia wakati anahitimisha mafunzo yake ya Elimu ya Masafa kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano na habari.

Katibu wa sasa wa KAUKI, Ndugu Adam Kivenule (wa kwanza kushoto) akiwa na jamaa zake katika moja ya matembezi katika hifadhi za wanyama, Windhoek, Namibia wakati anahitimisha mafunzo yake ya Elimu ya Masafa kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano na habari.

Katibu wa sasa wa KAUKI, Ndugu Adam Kivenule (mwenye tisheti nyeusi na miwani) akiwa na jamaa zake katika moja ya Hoteli ya Kitalii huko Windhoek, Namibia wakati anahitimisha mafunzo yake ya Elimu ya Masafa kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano na habari.



Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Kidamali

Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Kidamali

Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Kidamali

Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Kidamali

Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Kidamali

Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Kidamali

Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Kidamali

Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Kidamali

Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Kidamali

Ndugu Donath Mhapa, Mwenyekiti wa KAUKI

Mzee William Kivenule na Ndugu Christian Kivenule wakibadilishana mawazo katika Mkutano Mkuu wa 8 wa KAUKI uliofanyika Jijini Dar es Salaam, mwaka 2012

Mwenyekiti wa KAUKI na Mweka Hazina wa Kanda ya Dar es Salaam, wakibadilisha mawazo wakati wa Mkutano Mkuu wa KAUKI Kanda ya Dar es Salaam, 2012

Wana-KAUKI kutoka Kanda ya Dar es Salaam wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza mkutano wa KAUKI uliofanyika Katika Kanda ya Dar es Salaam

Wana-KAUKI katika mmoja ya mikutano ya KAUKI iliyofanyika Katika Kanda ya Dar es Salaam

Mzee William Kivenule kutoka Kidamali. Ni mmoja wa watoa mada katika Mikutano ya KAUKI. Ni mtu muhimu sana.

1 comment:

  1. Vema na haki mtaalamu wetu wa IT ndg. Adam Alphonce Kivenule. Picha na maandishi vinaishi. Tuzidi kuboresha Umoja wetu wa Kivenule

    ReplyDelete