MKUTANO MKUU WA 10 WA KAUKI

MKUTANO MKUU WA 10 WA KAUKI
Tangazo la Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

KAUKI-Kidamali, Iringa

KAUKI-Kidamali, Iringa
Mkutano Mkuu wa 10 wa KAUKI

Thursday, April 11, 2013

KITABU CHA CHIMBUKO NA HISTORIA YA UMOJA WA UKOO WA KIVENULE-KAUKI



Baadhi ya madhumuni na malengo ya kuanzisha kwa Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) ilikuwa ni pamoja na kutunza kumbukumbu mbalimbali kwa njia ambazo tunaamini zinafaa na za uhakika. Mojawapo ya njia hiyo ya utunzaji wa kumbukumbu ilikuwa ni kuchapisha kitabu kitakachozungumzia chimbuko na historia ya ukoo wa Kivenule.

Baada ya kukusanya taarifa za Ukoo wa Kivenule katika mikutano mitatu hadi hivi leo, na pia katika mkutano huu wa nne wa KAUKI, tunaamini tumepata taarifa ambazo zinauhakika kwa kiasi cha asilimia 60% ambazo zinaweza kutoruhusu kufikiria kuandika kitabu. Baada ya kufanya kazi hiyo katika vipindi vyote hivyo vya miaka mitatu, hatua zifuatazo zimependekezwa na wajumbe au washiriki wa Mkutano Mkuu wa Nne mnatakiwa kuzijadili na kutoa mawazo yenu pale inapobidi.
1.     Kuzikusanya taarifa zote za Ukoo wa Kivenule ambazo tayari zimepatikana katika mikutano mitatu pamoja na huu wa nne.
2.     mchakato wa kuanza kuandika Kitabu cha Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) uanze mara moja, baada ya kufanya mkutano huu wa nne.
3.     Iundwe kamati itakayoratibu kazi ya Uandishi wa Kitabu.
4.     Taarifa za Wanaukoo zikusanywe kwa njia ya Sensa. Tayari Ilole na Nduli walikwisha kusanya taarifa hizo. Ila itabidi wazipitie ili kufanya marekebisho pale inapobidi.
5.     Uandaliwe Mpango Kazi wa Uandishi wa Kitabu ukionesha mgawanyo wa majukumu kwa kila anayehusika.
6.     Zibainishwe Sehemu Kuu za Kitabu pamoja na idadi ya Kurasa.
Mapendekezo
  1. Idadi ya Kurasa
-          Sura
-          Sehemu
  1. Ukubwa wa Kitabu (Saizi)
-          A5 saizi
-          4A saizi
-          Au vipimo vingine ambayo wajumbe watapendekeza
  1. Rangi ya Ukurasa wa Nje.

7.     Mwisho, kila mshiriki atoe mchango wa mawazo namna ya kuweza kufanikisha mradi huu.
 

MCHAKATO WA KUANDIKA KITABU CHA KAUKI
1.     Kamati ya Kuratibu Kazi ya Uandishi wa Kitabu
Kamati ya kuratibu mchakato wa uandishi wa Kitabu cha Umoja wa Ukoo wa Kivenule (KAUKI) iliundwa wakati wa Mkutano Mkuu wa Nne wa KAUKI. Wajumbe wafuatao wanaunda kamati hiyo:
Irole
§         Bw. Thadei        Nyakunga
§         Bi. Sophia                  Ngimba

Kidamali
§         Bw. George       Kivenule
§         Bi. Castiria        Nzala

Nduli
§         Bw. Gipson       Kitu
§         Bi. Anna           Kivenule

Dar es Salaam
§         Bw. Ignas                  Kivenule
§         Bi. Michelina      Kivenule

Wajumbe wengine watakaoshiriki katika mchakato wa kuandika kitabu ni:
§         Viongozi wa KAUKI
§         Walezi

2.     Ukusanyaji wa Taarifa za Wanaukoo

3.     Mpango Kazi wa Uandishi wa Kitabu
No
Shughuli na makumu kwa wajumbe na kamati
2008
2009
Sep
Okt
Nov
Des
Jan
Feb
Mar
Apr
Mei
Jun
1.
Uundaji wa Kamati: Kushughulikia mchakato wa uandikaji na uchapaji wa Kitabu cha KAUKI
³









2.
Kukusanya Taarifa kwa ajili ya kitabu cha KAUKI:
Bwana Israel Mposiwa anaweza kusaidia upatikana wa taarifa za Historia ya Vita vya Makabila na Mwenendo wa Mkwawa. Habari za Luhota. Majina ya Tagumtwa na Mtengelingoma Balama na historia kwa ujumla ya Wahehe










3.
Kuwasilishwa kwa taarifa mbalimbali zilizokusanywa kwenye Kamati ya kuratibu mchakato wa uandikaji wa kitabu










4.
Kamati kukutana na kujadili taarifa zilizokusanywa



































































































































Taarifa za kwenye plan
Chimbuko la Balama
Habari za Luhota

Sehemu za Kitabu
Kukusanya taarifa
Kadirio la gharama = 500,000/=
Kujadili gharama za kuprinti kitabu
Kuhariri
Kudizaini (design)
Ukubwa wa kitabu saizi (A5)

Sehemu za Kitabu
Sehemu ya Kwanza;
Sehemu ya Pili: Tavimyenda na Kalasi Kivenule
Sehemu ya tatu: Umoja wa Ukoo wa KIvenule (KAUKI)

Uwingi wa  Sura: Utategemea uwingi wa taarifa

4.     Sehemu Kuu za Kitabu


No comments:

Post a Comment